forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
345 B
Markdown
13 lines
345 B
Markdown
# Neno la Bwana halikupatikana kwa wimngi
|
|
|
|
"Bwana hakuzungumza mara kwa mara na watu"
|
|
|
|
# Taa ya Mungu
|
|
|
|
Huu ni mshumaa wa saba uliopo mahali patakatifu pa maskani unaowaka kila siku mchana na usiku mpaka unapokwisha.
|
|
|
|
# Hekalu la Bwana.
|
|
|
|
Hekalu ni Hema lakini ilikuwa ni sehemu ambayo watu hutumia kuabudu hivyo ni vyema kuitafsiri kama Hekalu.
|
|
|