forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
352 B
Markdown
17 lines
352 B
Markdown
# Nyumba yake
|
|
|
|
"Nyumba" inamaanisha watu wanaoishi ndani ya nyumba. "Familia yake"
|
|
|
|
# Aache kunyonya
|
|
|
|
Kuacha kunywa maziwa na kuanza kula vyakula vyenye kimimimika.
|
|
|
|
# ahudhurie mbele za BWANA na akae huko daima
|
|
|
|
Hana alimuahidi Mungu kuwa atamruhusu Samweli aishi na kufanyakazi na Eli katika hekalu.
|
|
|
|
# kumnyonyesha mtoto
|
|
|
|
"kumpa mtoto wake maziwa"
|
|
|