forked from WA-Catalog/sw_tn
333 B
333 B
Taarifa kwa ujumla
Sulemani anaendelea kuongea na mfalme Hiramu juu ya ujenzi wa hekalu
amenipa mimi pumziko toka pande zote
wakati wamfalme Daudi natu wa Israeli kulikuwa na vita, lakini sasa mafalme Sulemani na watu walikuwa na pumziko na amani.
nitamweka kwenye kiti chako cha enzi
"nitamfanya kuwa mfalme baada yako"