Taarifa kwa ujumla
Mfalme Sulemani anatoamari ya kumwua Shimei
na enzi ya Daudi itaimrika mbele ya BWANA milele
Neno "enzi ya Daudi" linamaanisha mamlaka na utawala wa Daudi na uzao wake wote milele.
Kwa mkono wa Sulemani
matumizi ya "mkono" unawakilisha nguvu ya Sulemani