forked from WA-Catalog/sw_tn
747 B
747 B
Adoniya mwana wa Hagithi
Hagithi alikuwa mke wa Daudi
alijiinua
"alianza kujivuna"
wapanda farasi
Watu wanaoendesha magari yanayovutwa na Farasi
magari na wapanda farasi hamsini ili wapige mbio mbele yake
Hawa watu walienda walitangulia mbele ya magari ili kuwaandalia njia na kuwalinda
alikuwa hajawahi mumsumbua, kwa kusema
"Alikuwa hajawahi kumsumbua. Alikuwa hajawahi hata kumwuliza" au "alikuwa hajawahi hata kutaka kumfanya awe na hasira, kwa hiyo hakuwahi hata kumwuliza"
Kwa nini umefanya hili na lile?
"Unapaswa kutambua kuwa kile ulichokifanya hakiko sawa."
aliyezaliwa baada ya Absalomu
Daudi alikuwa mzazi wa wote Absalomu na Adoniya, lakini walikuwa na mama zao tofauti. Absalomu alizaliwa, kisha Adoniya.