forked from WA-Catalog/sw_tn
683 B
683 B
Hamjui kwamba
Paulo anaelezea kwamba wanapaswa tayari kuwa wanaujua ukweli huu. "Tayari umejua vile"
Wasio haki hawatarithi
"wenye haki tu watarithi"
kurithi ufalmewa Mungu
Mungu hatawahukumu kama wenye haki katika hukumu, na hawataingia katika uzima wa milele.
Wafiraji
Hawa ni malaya ambao ni wanaume hulala na wanaume wengine.
Wale wanaofanya uzinzi
Wanaume ambao hulala na wanumewengine(Walawiti)
wenye tamaa
watu walio tayari kutumia njia mbaya kujipatia mali
wadhalimu
"matapeli"
mlisafishwa
Mungu amewasafisha
mliwekwa wakfu kwa Mungu
Mungu amewatenga kwa ajili yake.
Mmefanywa haki pamoja na Mungu
Mungu amewafanya haki pamoja na yeye