forked from WA-Catalog/sw_tn
340 B
340 B
Maelezo ya Jumla
Daudi anamteua Sulemani kama mrithi wake na anapanga makuhani wa Kiwalawi na wafanya kazi wa huduma za hekaluni
Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa
"Baadhi ya wanaume wa Daudi waliwahesabu Walawi walikuwa na miaka 30 na zaidi"
Idadi ya elfu thelathini na nane
elfu nane** "Walikuwa 38,000"