alipo tawala miaka saba na miezi sita
Hii ya weza tafsiriwa kama sentensi yenyewe: "Daudi alitawala huko miaka saba na miezi mitatu."
miaka thelathini na mitatu
miaka mitatu** - " miaka 33"
Ammieli ... Shammua ... Shobabu ... Nadhani
Haya ni majina ya watu.