forked from WA-Catalog/sw_tn
329 B
329 B
Yahweh
Hili ni jina la Mungu alilo lirihidhisha kwa watu wake wa Agano la Kale.
alimzalia Peresi na Zera
"aliza wana wake Perezi na Zera"
wana wa tano
"wana wa 5"
macho ya Yahweh
"kwa mujibu wa Yahweh|"
Yahweh akamwua
Hii inamaanisha Yahweh aliruhusu Eri auliwe.
mkwe wake
Hii ina maana ya mke wa mwanae.