forked from WA-Catalog/sw_tn
312 B
312 B
Taarifa za jumla
Aya hizi zinaendelea majina ya watu ambao wazao wao walirudi kutoka uhamishoni
Siha...Hasufa...Tabaothi...Kerosi....Siaha...Padoni ...Lebana...Hagaba....Hanani....Gideli...Gahari
Haya ni majina ya wanaume.
Siaha
Huyu ndiye mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Siaha katika Ezra 2:44.