forked from WA-Catalog/sw_tn
440 B
440 B
Sentensi unganishi
Wakati ambapo Yesu na wanafunzi wake wanatoka katika mtumbwi wao hukpo Bethsaida, Yesu anamponya mtu kipofu.
Bethsaida
Huu ulikuwa ni mji kaskazini mwa ufuko wa bahari ya Galilaya.
akamshika
Hii inaweza kuwa msaada kusema kwa nini walitaka Yesu amguse mtu huyo. "kumgusa ili kumponya"
Alipotema mate juu ya macho yake ...alimuuliza
"Wakati ambapo Yesu alipotema mate juu ya macho yake... Yesu alimuuliza"