forked from WA-Catalog/sw_tn
591 B
591 B
Wakati alipokuwa akiongea
"Wakati Yesu alipokuwa akizungumza"
baadhi ya watu walikuja kutoka kwa kiongozi wa Sinagogi
Maana zinazowekana ni 1) watu hawa walitokea nyumbani mwa Jarius au 2) Jarius alikuwa amewapa watu hawa maagizo kwenda kumuona Yesu au 3) watu hawa walikuwa wametumwa na mtu aliyekuwa kama mwenyekiti na kiongozi wa Sinagogi kwa kukosekana kwa Jarius.
kiongozi wa Sinagogi
"kiongozi wa Sinagogi" ni Jarius
kuzungumza
"kuzungumza na Jairus
Kwa nini kuendelea kumsumbua mwalimu zaidi?
"Hatupaswi kumsumbua mwalimu zaidi"
mwalimu
Hii inarejea kwa Yesu