forked from WA-Catalog/sw_tn
422 B
422 B
fedha,dhahabu na vyombo vilipimmwa nje
Hii inweza kutafsiriwa katika mfumo hai. AT:"maofisa kumi na wawili wa kikuhani walipima fedha,dhahabu na vyombo.
waliweza kupima nje...kwamkono wa Meremothi
waliweza kupima nje..kwa mkono wa meremothi
Meremothi...Uriah...Eleazari...Phineasi...Yozabadi...Yoshuhua....Noadia..Binui
Haya ni majina ya wanaume
Yoshua
Tafsiri jina la mtu huyu kama ulivyofanya katika 2:3