forked from WA-Catalog/sw_tn
678 B
678 B
Yeye aliyekuwa kama wana wa mtu
Kauli hii inamrejelea yeye ambaye alikuwa ameongea na Danieli. Ingawa, baadhi ya matoleo hutafsiri kwamba alikuwa anamrejelea mtu mwingine tofauti.
kama wana wa mtu
Maelezo haya yanawarejelea watu kwa ujumla
masumbuko
mateso makali ya kihisia
Mimi ni mtumishi wako. Je ninawezaje kuongea na Bwana wangu?
Danieli anauliza swali hili kumaanisha kwamba yeye hawezi kuongea na malaika kwasababu yeye halingani na malaika. Sentensi hizi zaweza kuunganishwa. "siwezi kukujibu wewe kwasababu mimi ni mtumishi wako"
hakuna pumzi iliyosalia ndani yangu."
Nahau hii inarejelea upumuaji. "Siwezi kupumua" au "ni vigumu sana kupumua"