forked from WA-Catalog/sw_tn
421 B
421 B
Gideoni akawaambia
"Gideoni akawaambia wana wa Israeli"
Hereni
dhahabu inayovaliwa sikioni
Nyara
Hivi ni vitu vilivyochukuliwa kwa nguvu au vilivyochukuliwa kwa watu waliokufa vitani.
Wamidiani walikuwa na pete za dhahabu kwa sababu walikuwa Waishmaeli
Hapa msimuliaji anatuelezea historia ya Wamidiani.
Vazi
Nguo kubwa inayotengenezwa kwa kipande kikubwa cha kitambaa na huvaliwa mabegani kama koti.