forked from WA-Catalog/sw_tn
585 B
585 B
Naye atauleta
"Naye yampasa kuleta unga safi"
sadaka ya kuwakilisha
konzi kuhani chomayo juu ya madhabahu huwakakilisha matoleo yote. Hii humaanisha matoleo yote ni ya Yahweh, tazama sura ya 2:1
atafanya upatanisho
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama tendo. : "atamatanisha"
juu ya madhabahu, na juu ya matoleo yafanywayo kwa Yahweh
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : " Yahweh. : "juu ya sadaka za kuteketezwa kwa Yahweh"
naye mtu huyo atakuwa amesahewa.
Hili laweza kutamkwa kama mtindo tendaji. : "Yahweh atasamehe dhambi za mtu huyo"