forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
421 B
Markdown
13 lines
421 B
Markdown
# kama ilivyoelezwa kwenye maelekezo
|
|
|
|
Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : "kama alivyoelekeza Yhweh"
|
|
|
|
# naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi aliyotenda
|
|
|
|
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. : "Naye kuhani atapatanisha kwa ajili ya dhambi ile ambayo ametenda
|
|
|
|
# naye huyo mtu atakuwa amesamehewa
|
|
|
|
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atamsamehe mtu huyo"
|
|
|