forked from WA-Catalog/sw_tn
630 B
630 B
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendlea kumwambia Musa yawapasayo watu kutenda
ushahidi fulani kuhusu kile alichotakiwa kushudia
Sheria na viongozi wa kiyahudi viliwataka watu kushuhudia iwapo walikuwa mashahidi kwa uharifu. Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "jambo fulani ambalo hakimu amemtaka yeye kushuhudia"
Mungu amekitaja kuwa ni najisi
Kitu fulani ambacho Mungu amekita kuwa hakiwafai watu kukigusa au kukila kimesemwa kuwa kana kwamba kilikuwa kichafu kwa mwonekano.
mzoga
"maiti"
yeye ni najisi
Mtu asiyekubalika katika makusudi ya Munngu husemwa kana kwamba ni mtu aliyekuwa mchafu kimwili.