forked from WA-Catalog/sw_tn
422 B
422 B
Naye ataweka
"Mtawala ataweka"
ataweka mkono wake juu ya kichwa
Tazama lilivyofassiriwa katika sura ya 1:3
mahali ambapo huchinja
"makuhani wanapochinja"
mbele za Yahweh
"katika uwepo wa Yahweh" au kwa Yahweh"
Kuhani ataichukua damu
Inamaanisha kwamba kuhani aliikinga damu kwenye bakuli damu ilipotirirka kutoka kwa mbuzi.
pembe za madhabahu
Tazama maelezo kwenye sura ya 4:6 uone linavyofasiriwa