Yohana anawaambia wasomaji wake jinsi alivyomjibu malaika.
# kulala kifudifudi
Hii inamaanisha kulala chini na kujinyoosha kwa sababu ya heshima na unyenyekevu. Hii nafasi ilikuwa sehemu muhimu katika kuabudu, kuonesha heshima na utayari wa kutumika.