sw_tn_fork/rev/20/13.md

971 B

Bahari iliwatoa wafu ... Kifo na kuzimu viliwatoa wafu

Hapa Yohana anazungumzia bahari, kifo na kuzimu kana kwamba ni watu hai.

wafu walihukumiwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu aliwahukumu wafu"

Kifo na kuzimu zilitupwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu alizitupa kifo na kuzimu" au "Malaika wa Mungu walizitupa kifo na kuzimu"

kuzimu

Hapa "kuzimu" ni njia nyingine ya kusema mahali ambapo wasioamini wanapokwenda pale wanapokufa ili kusubiri hukumu ya Mungu.

mauti ya pili

"kufa mara ya pili." Hii inaelezwa kama adhabu ya milele katika ziwa la moto katika 20:13 na 21:7. "kifo cha mwisho ni ziwa la moto"

Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kama malaika wa Mungu hawakupata jina la mtu"

litupwa ndani ya ziwa la moto

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "malaika alimtupa katika ziwa la moto" au "malaika alimtupa mahali ambapo moto unawaka milele"