forked from WA-Catalog/sw_tn
919 B
919 B
Nitamtupa kwenye kitanda cha maradhi
Yeye kulazimika kulala kitandani itakua matokeo ya yesu kumfanya kuwa mgonjwa sana. "Nitamfanya alale kitandani akiumwa" au "nitamfanya aumwe sana"
na wale watendao uzinzi naye kwenye mateso makali
Yesu anazungumzia watu kuteseka kama kuwatupa katika mateso. "na nitawafanya watakaozini naye kuteseka sana"
Kuzini
"kufanya uzinzi"
hadi watakapotubu dhambi zao
"kama hawatatubu dhambi zake anazozifanya".
Nitawapiga wanawe wafe
"Nitawaua watoto wake"
watoto wake
Yesu alizungumzia wafuasi wake kama vile walikuwa watoto wake. "wafuasi wake" au "watu wanaofanya anachofundisha"
mawazo na mioyo
Neno "moyo" mara nyingi humaanisha hisia na tamaa. Haya mawazo mawili yaweza kutafsiriwa kama vitenzi. "nini ambacho watu wanawaza na kutaka".
Nitampa kila mmoja wenu
Huu ni udhahiri kuhusu adhabu na thawabu. "Nitawaadhibisha au kuwazawadia kila mmoja wenu"