forked from WA-Catalog/sw_tn
437 B
437 B
Humwagilia milima kutoka katika vyumba vyake vya maji vya angani
Hii ina maana ya kwamba Mungu husababisha mvua kunyesha. Maji yanaelezwa kama kurudi nyuma katika vyumba vya angani. "Humwagilia milima kwa kusababisha mvua kuanguka kutoka angani"
matunda ya kazi yake
"mambo mengi mazuri ambayo unaumba"
na mimea kwa ajili ya mtu kulima
Maneno ambayo hayapo yanweza kuongezwa. "na hufanya mimea kuota kwa ajili ya mtu kulima"