forked from WA-Catalog/sw_tn
347 B
347 B
Hataadabisha wakati wote; hakasiriki kila mara
Misemo hii miwili ina maana za kufanana. Msemo wa pili unaimarisha wazo la kwanza.
Hatufanyii ... au kutulipa
Misemo hii miwili ina usambamba na inasisitiza kwamba Mungu hatuadhibu kama tunavyostahili. "Hatulipi kwa adhabu tunayostahili kwa ajili ya dhambi zetu"
Hatufanyii
"Hautuadhibu"