sw_tn_fork/psa/103/003.md

767 B

zako ... yako

Tafsiri nyingi zinaeleza hii na "mimi."

Anakomboa maisha yako kutoka katika uharibifu

Hii inamaanisha kuwa Yahwe anamweka kuwa hai. "Ananiokoa kutoka na kifo"

anakuvika taji

Hapa "baraka' inaelezwa kana kwamba ni "kuvikw taji." "anakubariki"

Anakuridhisha maisha yako na vitu vizuri

Msemo "maisha yako" inamaanisha "wewe," lakini inasisitiza kuwa Yahwe hutoa baraka katika maisha yote. "Anakuridhisha na vitu vizuri katika maisha"

ujana wako unafanywa kuwa mpya kama tai

Kuwa na "ujana wako kufanywa kuwa mpya" inamaanisha kujihisi kijana tena. Hapa Daudi anafananisha hisia hii ya ujana na wepesi na nguvu ya tai. "unajihisi kijana na mwenye nguvu kama tai"

ujana wako

"ujana" unamaanisha nguvu ambayo alikuwa nayo kama kijana.