sw_tn_fork/psa/103/001.md

709 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Zaburi ya Daudi

Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.

Nitamsifu Yahwe na maisha yangu yote, na kwa vyote vilivyo ndani yangu, ninatoa sifa kwa jina lake takatifu, ninatoa sifa kwa jina lake takatifu

Misemo hii miwili inamaana moja na inasisitiza jinsi atakavyomsifu Yahwe. "Nitamsifu Yahwe kwa moyo wangu wote"

ninatoa sifa kwa jina lake takatifu

Hii inamaanisha kusifu jina la Yahwe kama Yahwe.

vyote vilivyo ndani yangu

"kila kitu ndani yangu." Daudi anatumia msemo huu kujizungumzia mwenyewe na kusisitiza mapenzi kwa Yahwe.