forked from WA-Catalog/sw_tn
880 B
880 B
mambo ya ajabu
"vitu vizuri sana vinavyo tushangaza"
wewe pekee ni Mungu
"wewe ndiye Mungu pekee"
Nifundishe njia zako, Yahwe. Kisha nitatembea katika kweli yako
Mtu anayetii kile ambacho Mungu anataka anazungumziwa kana kwamba anatembea katika njia au barabara la Mungu. "Nifundishe ukweli wako, Yahwe. Kisha nitatii unachosema"
Unganisha moyo wako kukucha wewe
Hapa "moyo" unawakilisha mawazo, hisia na nia ya mtu. Kumwomba Mungu kumsababisha mtu kumtii kikamilifu inazungumziwa kana kwamba moyo wa mtu ulikuwa katika vipande vingi na kwamba Mungu anaviunganisha pamoja. "Nisababishe nikuheshimu kwa moyo wangu wote" au "Nisababishe nikuheshimu kwa dhati"
nitakusifu kwa moyo wangu wote
Hapa "moyo" unawakilisha mawazo, hisia na nia ya mtu. "Nitakusifu kikamilifu na kwa dhati"
nitalitukuza jina lako
Hapa "jina" linamwakilisha mtu mzima. "nitakutukuza"