forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
552 B
Markdown
21 lines
552 B
Markdown
# Usishikilie dhambi za baba zetu dhidi yetu
|
|
|
|
"Usiendelee kukumbuka dhambi za baba zetu na kutuadhibu kwa sababu yao" au "Tusamehe kwa dhambi za baba zetu"
|
|
|
|
# tuko chini sana
|
|
|
|
"tumedhoofika sana"
|
|
|
|
# Mungu wa wokovu wetu
|
|
|
|
"Mungu anayetuokoa"
|
|
|
|
# kwa ajili ya utukufu wa jina lako
|
|
|
|
Neno "jina" ni njia nyingine ya kusema sifa yake, kwa kile ambacho watu wanachojua kumhusu. "ili watu wajue kuhusu utukufu wako"
|
|
|
|
# kwa ajili ya jina lako
|
|
|
|
Jina la Mungu hapa linamwakilisha yeye na heshima anayostahili. "ili watu wakuheshimu" au "kwa ajili yako mwenyewe"
|
|
|