forked from WA-Catalog/sw_tn
756 B
756 B
Tumekuwa chukizo kwa jirani zetu, kejeli na dhihaka kwa wale waliotuzunguka
Maneno "chukizo," "kejeli," na "dhihaka" ni njia zingine za kusema watu ambao wanachukiza, kejeli, na kudhihaki. "Tumekuwa watu ambao jirani zetu wanatuchukia; wale waliotuzunguka wanatukejeli na kutudhihaki"
Tumekuwa
Wanaozungumziwa ni watu wa Mungu.
dhihaka
kicheko kikubwa cha kumwaibisha mtu
Hadi lini wivu wako wa hasira utawaka kama moto?
"Inaonekana kana kwamba wivu wako wa hasira hautaacha kuwaka kama moto"
wivu wako wa hasira utawaka
Maneno "wivu wako wa hasira" unazungumzia kuwa na wivu na hasira. "utakuwa na wivu na hasira"
utawaka kama moto
Tashbihi hii inalinganisha kuonesha kwa hasira ya Mungu na moto unaoangamiza vitu. "utatuangamiza"