forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
734 B
Markdown
25 lines
734 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Mwandishi anaendelea kuzungumza kuhusu malkia lakini anaanza kwa kuzungumza na mfalme kwanza.
|
|
|
|
# Ataongozwa kwenda kwa mfalme na nguo ya tarizi
|
|
|
|
"Watu watamwongoza kwenda kwa mfalme akiwa amevaa nguo ya tarizi"
|
|
|
|
# tarizi
|
|
|
|
mtindo ulioundwa kwa kushona nyuzi za rangi kwenye nguo
|
|
|
|
# wanawali, wenzake wanaomfuata, wataletwa kwako
|
|
|
|
Hapa neno "kwako" inamaanisha mfalme. "watu watakuletea wanawali, wenzake wanaomfuata"
|
|
|
|
# Wataongozwa kwa furaha na shangwe
|
|
|
|
Msemo huu unaeleza "furaha na shangwe" kama mtu anayewaongoza wengine kusherehekea. "Furaha na shangwe zitawaongoza" au "Wataenda kwa furaha na shangwe"
|
|
|
|
# furaha na shangwe
|
|
|
|
Maneno haya mawili yana maana moja na yanasisitiza ukali wa furaha. "furaha kubwa"
|
|
|