forked from WA-Catalog/sw_tn
466 B
466 B
Kwani hawajui chochote ... ambao hawamwiti Yahwe?
Swali hili la balagha linaulizwa kuongeza msisitizo. Linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Wanatenda kana kwamba hawajui chochote ... wasiomwita Yahwe. Lakini wanajua wanachokifanya!"
wale wanaotenda udhalimu
Hapa "udhalimu" unamaanisha matendo maovu. "wale wwnye tabia mbovu.
wale wanaowala watu wangu
Hii inamaanisha wale wanaofanya vitu viovu na wanawaangamiza watu wa Mungu kana kwamba wanakula chakula.