forked from WA-Catalog/sw_tn
415 B
415 B
kumwogopa mtu hufanya mtego
"mtu yeyote anayeogopa atakachotendewa na watu ni huwa kama mtego"
mtego
kitanzi ambacho hukamata wanyam kwa kamba
yeye ambaye anamtumaini Yahwe atalindwa
"Yahwe atamlinda yule ambaye anamtumaini"
wengi ambao huutafuta uso wa mtawala
"watu wengi wanataka mtawala wao awajali"
kutoka kwa Yahwe ni haki kwa mtu
Ni Yahwe anayetaka kuona kuwa watu wanatendewa kwa haki