forked from WA-Catalog/sw_tn
338 B
338 B
ambaye humdekeza mtumwa wake
"ambaye huruhusu mtumwa wake kuacha kazi na hutendea vema mtumwa wake kuliko watumwa wengine"
mwisho wake
"mtumwa anapokua"
kutakuwa na taabu
mtumwa atakuwa mtu dhaifu
huchochea ugomvi
"husababisha mabishano zaidi kwa watu" Angalia 15:17
bwana wa ghadhabu
"mtu ambaye hupata hasira upesi"