forked from WA-Catalog/sw_tn
459 B
459 B
fimbo na maonyo hutoa hekima
"kama mzazi atatumia fimbo kwa mtoto wake na kumuonya, mtoto atakuwa na busara"
fimbo
Wazazi walitumia viboko katika Israeli kama vifaa vya kuleta nidhamu kwa kuwachapa watoto wao.
maonyo
kumwambia mtu kuwa jambo analofanya halifai
makosa huongezeka
"watu wengi watafanya makosa na dhambi za zitakuwa mbaya zaidi"
anguko la wale watu waovu
"wale watu waovu huanguka" au "wale watu waovu hupoteza utawala wao"