forked from WA-Catalog/sw_tn
557 B
557 B
kinywa cha ... midomo ya
Kinywa na midomo vyote vinahusiana na kile ambacho mtu hunena
kipukizi la kiburi chake
chipukizi ni kitu amabacho huota kutoka kwenye kitu kingine. " ambacho huzalishwa na kiburi chake"
busara
"watu wenye busara"
ataihifadhi
"atawalinda kutoka ktatika madhara" au " atawatunza salama"
hori la kulia
hori ni kontana ambapo huwekwa chakula kwa ajili ya wanyama
mazao mengi
"mavuno mazuri"
kwa nguvu ya maksai
"nguvu" inawakilisha kazi imara anayoweza kufanya maksai "kwa sababu ya kazi anayofanya maksai"