forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
583 B
Markdown
25 lines
583 B
Markdown
# Taarifa kwa uumla
|
|
|
|
BWANA anaendelea kumwambia Musa kile ambacho watu wanatakiwa kufanya
|
|
|
|
# siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba
|
|
|
|
"siku ya 15, ya mwezi wa 7, ya kalenda ya Kihebrania"
|
|
|
|
# mtakuwa na kusanyiko takatifu
|
|
|
|
"kusanyikeni ili kumwabudu na kumheshimu BWANA"
|
|
|
|
# mtazitunza hizo sikukuu kwa ajili ya BWANA.
|
|
|
|
"Mtazikumbuka hizo sikukuu kwa ajili ya BWANA"
|
|
|
|
# sadaka iliyotengenezwa kwa moto
|
|
|
|
"mtaiteketeza kwenye madhabahu"
|
|
|
|
# mafahari wachanga kumi na tatu, kondoo waume wawili, na wanakondoo waume kumi na nne
|
|
|
|
mafahari wachanga 13, kondoo waume 2, na wanakondoo waume 14.
|
|
|