forked from WA-Catalog/sw_tn
423 B
423 B
Wakohathi
Tazama 3:27
Kuondolewa kati ya Walawi
"kufanya chochote ambacho kitanifanya mimi kuwatoa kabisa miongoni mwa Walawi."
kwa kufanya hivi
Kirahi hiki kinalenga kitu ambacho BWANA atasma baadaye. Musa atawalinda Wakohathi kwa kutowaruhusukuingia ndani na kuona mahali patakatifu.
kazi maalumu ya kufanya, kila mmoja
virai hivi viwili vinamaanisha jambo lilelile na vimeunganishwa ili kutoa msisitizo.