1.1 KiB
Alimota nje
"Yesu alimtoa nje"
akaweka vidole vyake kwenye masikio yake
Yesu anaweka vidole kwenye masikio yake.
baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake
Yesu anatema mate na kisha anagusa ulimi wa mwanaume.
baada ya kutema
Inaweza kuwa msaada kusema kwamba Yesu alitemea mate vidole vyake.
alitazama juu mbinguni
Hii inamaanisha kuwa alitaza juu mbinguni, ambako kunahusishwa na eneo analoishi Mungu.
Efata
Mwandishi anataka msomaji ajue jinsi neno linavyo sikika, Kwa hiyo andika hii kwa kutumia alfabeti za lugha yako na neno lisike karibu na "effatha" kwa kadri uwezavyo.
Kuvuta pumzi
akavuta pumzi kuonyesha kuwa hakuwa na furaha.
kusema naye
"alisema na mwanaume"
masikio yake yalifunguliwa
Hii inamaanisha alikuwa hawezi kusikia. "masikio yake yalifunguliwa na aliweza kusikia"
Kilichokuwa kimeshikilia ulimi wake kilitolewa.
"Yesu alikitoa kilichokuwa kimeushikilia ulimi wake" au "Yesu aliponya kilichokuwa kimemfanya asiongee vizuri"
kilichokuwa kimezuia ulimi
"kinachomzuia yeye kuongea " au "usemi wake kuwa na kikwazo"