forked from WA-Catalog/sw_tn
378 B
378 B
Nitafanya
Hapa "Mimi" inarejelea kwa Yahwe.
itakanyagwa kuwa vipande vipande...itachomwa
"Nitakanyaga kuwa vipande vipande...nichoma"
Nitayavuta mawe ya jengo lake
Hapa "yeye" inarejea kwa mji wa Samaria.
Kwa kuwa zawadi zake za ukahaba amezikusanya, na malipo ya ukahaba yatarudi
Mara nyingi kuabudu sanamu pamoja na kulala na kahaba kwenye hekalu la wapagani.