forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
561 B
Markdown
25 lines
561 B
Markdown
# Walipotoka nje
|
|
|
|
Hii inamaanisha Yesu na maaskari walitoka nje ya mji, "walipokuwa wakitoka nje ya Yerusalaem"
|
|
|
|
# walimwonamtu
|
|
|
|
"maaskari walimwona mtu"
|
|
|
|
# ambaye walimulazimisha kwenda nao ili apate kubeba msalaba wake
|
|
|
|
"amabye maaskari walimlazimisha kwenda naye ili kwamba abebe msalaba wa Yesu"
|
|
|
|
# mahali paitwapo fuvu la kichwa
|
|
|
|
"eneo ambalo watu waliliita Golgotha"
|
|
|
|
# Walimpa siki iliyochanganywa na nyongo.
|
|
|
|
"walimpa siki, ambayo walikuwa wameichanganya na nyongo"
|
|
|
|
# siki
|
|
|
|
kinwaji kichungu cha njano ambacho miili hukitumia kwa mmeng'enyo wa chakula
|
|
|