ametenda
"ambalo Yesu ametenda"
walipaza sauti
"walipiga kelele"
akanawa mikono yake mbele ya umati
Pilato alifanya hivi kama ishara ya kuwa yeye hawajibiki kwa kifo cha Yesu
damu
"damu" inamaanisha damu ya mtu "kifo"
yaangalieni haya wenyewe
"huu ni wajibu wenu"