forked from WA-Catalog/sw_tn
706 B
706 B
Wakamwambia
"Mafarisayo walimwambia Yesu"
Tuamuru
"Amuru sisi Wayahudi"
Hati ya talaka
Waraka unaohalalisha kisheria mwisho wa ndoa
kwa sabau ya ugumu wa mioyo yenu
kwa sababu ninyi ni wasumbufu
kwa ugumu ... aliwaruhusu ....wake zenu
wewe na yenu ziko katika wingi. Yesu anaongea na Mafarisayo, lakini Musa aliwapa shaeria hii miaka mingi iliyopita kwa mababu zao. amri ya Musa ilitumika kwa Wayahudi wote.
tangu mwanzo
"Wakati Mungu alipomuumba mume mke hakupanga waachane"
nawaambieni
anaongeza msisitizo
na kumwoa mwingine
na kumwoa mwanamke mwingine
Na mwanaume anayemwoa mwanamke ambaye ameachwa amefanya uzinzi
Maandishi mengi ya mwanzo hayajumuishi maneno haya.