forked from WA-Catalog/sw_tn
1.0 KiB
1.0 KiB
Sentensi unganishi
Hapa mwandishi anaanza kueleza jinsi Herode alivyomnyonga Yohana mbatizaji. Matukio haya yanaanza kuonekana kabal y a matukio yaliyo kwenye mistari iliyopita
Maelezo kwa ujumla
Mwandishi anaeleza upya habari ya kifo cha Yohana mbatizaji ili kuonesha kwa nini Herode aliitikia kwa jinsi alivyofanya aliposikia habari za Yesu
Kwa kuwa Herode .... kuwa mke wako
Kama inahitajika unaweza kurudia mpangilio wa tukio kama ulivyo 9:3 -4.
Herode alikuwa amemkamata Yohana na kumfunga, na kumtupa gerezani
Inasemekana kuwa Herode alifanya mabo haya kwa sababu aliwaamuru wengine kufanya kwa ajili yake.
mke wa Filipo
Filipo ni jina la kakawa Herode
Kwa kuwa Yohana alimwambia kuwa si halali kumchukua yeye kuwa mke wako
Kwa kuwa Yohana alikuwa amemwambia kuwa siahali kwake kumchukua kama mke wake"
kwa kuwa Yohana alimwambia
"Kwa kuwa Yohana aliendelea kumwambia Herode"
si halali
Filipo bado alikuwa hai wakati Herode anamwoa Herodia
aliogopa
Herode aliogopa
walimwona
"walimwona Yohana