forked from WA-Catalog/sw_tn
658 B
658 B
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kwaeleza wanafunzi wake mfano wa mpanzi
yeye aliyepandwa katika miamba
"kilichopandwa" kinamaanisha mbegu iliyoanguka kwenye miamba.
Kilichopandwa kwenye miamba ni
miamba ambapo mbegu zilianguka inmaanisha udongo uliokuwa juu ya miamba ambapo mbegu zilianguka
yule asikiaye neno
katika mfano, mbegu zinamaanisha neno
neno
ujumbe wa Muungu
hulipokea kwa furaha
kulipokea neno kwa furaha
ila hana mizizi ndani yake hiyo huvumilia kwa kitambo kifupi.
mizizi inamaanisha kile kinachomfanya mtu aendelee kuamini ujumbe wa Mungu
hujikwaa ghafla
kujikwaa humaanisha kuacha kuamini ujumbe wa Mungu