forked from WA-Catalog/sw_tn
665 B
665 B
sentensi unganishi
Yesu anaanza kufafanua kwa wanafunzi wake ule mfano wa mpanzi unaoanzi 13:3
neno la ufalme
neno linamaanisha ujumbe "ufalme" unamaanisha utawala wa Mungu kama mfalme
mwovu huja nakukinyakua kilichokwisha kupandwa mioyoni mwenu
Yesu anaongea juu ya shaetani anayewafanya kusahau kile walichosikia kama ndege anavyozidonoa mbegu zilizoanguka chini.
mwovu
shetani
kukinyakua
kukichukua kitu kwa mtu aliyesahihi
kilichokwishapandwa ndani ya moyo wake
ujume ule Mungu aliopanda nadani ya moyo wake.
ndani ya moyo ake
moyo unamanisha akili ya msikilizaji
hii ni mbegu iliyopandwa kando ya njia
tafsiri kama ilivyo 13:3