forked from WA-Catalog/sw_tn
971 B
971 B
Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwakemea waandishi na Mafarisyao.
Wakati pepo machafu ... kwa kizazi hiki kibovu
Yesu anatumia mfano kuwaonya watu hatari ya kutokuamini
"mahali pasipo na maji
"eneo kavu"au "mahali ambapo watu hawaishi"
lakini hapaoni
Hapa "ni" inamaanisha kupumzika
Kisha husema, 'nitarudi kwenye nyumba yangu niloyotoka
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi na wala si nukuu "kwa hiyo yule roho mchafu huamua kurudi kwenye nyumba yake ambayo alitoka"
kwenye nyumba yangu niliyotoka
Hii ni sitiari ya ya mtu ambaye pepo lilitoka. "pale nilikotoka
arudipo akikuta ile nyumba imesafishwa na iko tayari
Hii inaweza kutafsiriwa katika muunda tendaji. "yule roho mchafu akikuta ile nyumba iko safi na imewekwa kila kitu katika mahali pake",
Hivi ndivyo itavyokuwa kwa kizazi hiki kiovu
Hii inamaanisha kama watu wa kizazi cha Yesu hawatamwamini na kuwa wanfunzi wake, watakuwa katika hali mbaya kuliko walivyokuwa mwanzoni