forked from WA-Catalog/sw_tn
498 B
498 B
Hivyo
Neno hili linaweka alama ya tukio limetokea kwa sababu kitu fulani kilitokea kwanza. Kwa hivyo makutano walimwambia kipofu kuwa Yesu anapita.
Akalia kwa sauti
"akaita kwa sauti" au "akapiga kelele"
Mwana wa Daudi
Yesu alikuwa uzao wa Daudi, Mfalme muhimu kwa Israeli.
Nihurumie
"nionee huruma" au "nihurumie"
Wale
"watu"
Anyamaze
"awe kimya" au "asipige kelele"
Akazidi kulia kwa sauti
Hii inaweza kumaanisha alilia kwa sauti zaidi au alilia zaidi kwa kusisitiza.