forked from WA-Catalog/sw_tn
770 B
770 B
ncha ya juu sana
Hii ilikuwa ni ncha kwenye paa la hekalu. Kama mtu akianguka kutokea kule, angejeruhiwa sana au kufa.
Kama wewe ni mwana wa Mungu
shetani alikuwa anamkosoa Yesu athibitishe kwamba alikuwa Mwana wa Mungu
Mwna wa Mungu
Hiki ni cheo mhimu kwaajili ya Yesu.
jitupe mwenyewe chini
"ruka chini ardhini"
Kwa kuwa imeandikwa
Ibilisi anamaanisha kwamba nukuu yake kutoka Zaburi inamaanisha Yesu hataumia kama ni Mwana wa Mungu. Hii inwaeza kusemwa wazi, kama inavyofanya UDB. NI: "Hutaumia" sababu imeandikwa"
imeandikwa
Hii inaweza kusemwa katika kauli tendaji. NI: "mwandishi ameandika"
Yeye atatoa maagizo
"Yeye" inarejea kwa Mungu. Ibilisi kwa sehemu alinukuu kutoka Zaburi kwa juhudi kumshawishi Yesu kuruka kutoka juu ya jengo.