forked from WA-Catalog/sw_tn
413 B
413 B
Taarifa kwa Ujumla
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
analichunguza
Kinachochunguzwa hapa ni lile jeraha la moto juu ya ngozi ya mtu.
naye kuhani atamtangaza kuwa najisi
Tazama amaelezo ya sura 13:20
Ugonjwa wa kuambukiza
Tazama maelezo ya sura 13:3
, naye kuhani atamtangaza kuwa safi
Tazama maelezo ya sura 13:23