forked from WA-Catalog/sw_tn
476 B
476 B
Taarifa kwa ujumla
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kwamba watu hao na makuhani yawapasa wafanye hivyo ili sadaka zao ziweze kukubalika kwake
iliyobanikwa kenye moto, na kupondwa
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Ile uliyoipika kwenye moto na kisha kusagwa"
sadaka ya kuwakilisha
Tazama maelezo katika sura ya 2:1
Hii ni sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto.
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "Hii ni sadaka ya kutekezwa kwa Yahweh"